UNAFSIA
Unafsia ni nadharia ambayo inahusisha kila kitu na ngono. nadharia hii mwasisi ni SIGMUND FREUD ambaye anazungumzia suala la ngono na mapenzi katika mfumo mzima wa maisha. Mfano Mfalme Edipode ambaye alichukua jukumu la kumuua baba yake mzazi na hatimaye kumuoa mama yake mzazi. Na pi a kuzaa nae watoto! pia akadhihirisha nadharia ya UMAKSI ya kwamba Maisha hayana maana kwa kuamua kujitoboa macho ili asiyaone maovu aliyoyatenda. na pia kuamua kurudi katika kijiji chake cha mwanzo!.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni