MAPENZI SAFARI
Mnamo siku
ya i
juma tarehe 12 ya mwezi wa sita wapenz wawili walikuwa katika harakati
za kutaka kufanya safari ya pamoja ya kuelekea nyumbani baada ya kufungwa kwa
chuo chao cha TEKU. Kwa uchovu wa
mitihani ya UE pamoja na swaumu
aliyokuwa nayo mmoja wa wapenzi hao wakaamua kuondoka pamoja kwa lengo la
kudhihilisha mapenzi yao, walipofika standi kuu ya mabasi ya mikoani wakajaribu
kutafuta basi ambalo linaweza kuwabeba wote wawili kwani mmoja kati yao alikuwa
anatakiwa kuishia mjini iringa na
mwingine anatakiwa kuishia mjini morogoro.
Walipofika stand wakaangaika sana kupata usafili wa pamoja na hatimaye
walifanikiwa kupata gari la pamoja katika safari yao, wakakata tikeki katika gari la hood na baadae wakaamua kurudi nyumbani
kujiandaa na safari yao. Mapenzi mazito sana!, walipofika nyumbani mpenzi wa
kiume akawa anaburn CD kwa ajili ya
mpenzi wake. Katikati ya harakati za maandalizi ya safari yao mpenzi wa kike
akaanza kulia kwa undani wa penzi lake kwa mpenzi wake kwa kudai kuwa
wasiondoke kwani atapata shida sana kwakua hajazoea kukaa peke yake kwa muda
mrefu sana, kwa hali halisi watu hao ni lazima waachane kwa muda huo kwani
walikuwa wanakwenda kutimiza wajibu wao wa kufanya field katika shule za
sekondari tofauti; kwa kujaribu kuwekana sawa ili mambo yaendelee kuwa vyema
iliwalazimu wachelewe kulala mpaka ilipo timu saa sita usiku. Ilipo fika
alfajiri ya saa kumi wapenzi hao iliwalazimu kuamka kwa kujiandaa na safari ya kuelekea
iringa pamoja na morogoro, wakajiandaa kwa haraka zaidi na stadi zaidi. M ara
ghafla wakapigiwa simu na wale waliowakatia tiketi kwa ajili ya usafili wao na
kuwataka wabadilishe gari la kupanda kutoka hood
kwenda sumry inayotoka mbeya kwenda dodoma, haikuwa shida kwa wapenzi hawa
kukubali kwani tayari walikwisha kata tiketi kwa ajili ya kusafili siku hiyo.
Ikawalazimu kujongea mpaka stendi ya mamajohn kwa kusubiri usafili, kwa bahati
nzuri sana sumry iliwai kufika na wapenzi hao wakapanda gari hiyo tayari kwa
kuaanza safari yao, safari kwa upande wa
watu hawa wawili haikuwa nzuri sana kwani hawakuwa tayari kuachana
kirahisi ila majukumu yaliwafanya waweze
kutekeleza jukumu la kuachana katikati ya safari kama kawaida gari lazima lisimame kwa lengo
la kuchimba dawa, hapo magari kadhaa yakakutana na wapenzi hawo wakakutana tena
na baadhi ya marafiki zao waliopanda gari jingine. Baada ya muda kidogo gari la
wapenzi hao likaondoka katika eneo la tukio na kufika umbali kidogo gari hilo
likapata hitirafu na kukaa pembeni kifaa kilicho haribika katika gari hilo ni
kikubwa sana kilichofanya gari hilo lishinndwe kuendelea na safariyake, na
abilia kutangaziwa kuwa hawanabudi kusubili gari lingine kutoka mbeya mjini
lije makambako kwa ajli ya kuwachukua abilia na kuenndelea na safari ya
kuelekea Dar es salaam, baada ya kukaa kwa muda mrefu likatolewa tangazo na
kondakta wa gari hilo kuwa abilia wanaoishia morogoro wanatakiwa washuke na
kupanda gari lingine ambalo ni Alsaedy, kitendo hiki kiliumiza sana nyoyo za
wapenzi hao wawilin kwani wawili kwani endapo wangeachana hapon lengo lao
lisingetimia la kusafili pamoja mpaka Iringa. Wapenzi hao wakawa wanafuraha
lakini yule mwanaume ilimbidi ashuke kwenye Sumry na kutoa mizigo nje ya gari
kwa kusubili uamuzi wa utawala wa gari lao la Sumry, baada ya muda kadhaa
likafika gari husika yaani Alsaedy kwa lengo la kuwabeba abilia hapo pia ikatolewa kauli nyingine kuwa abilia
ishilini pekee ndio wanaotakiwa kupanda gari hiyo na kuelekea sehemu husika.
Wapenzi hao wakafurahi sana na kufanya harahara kupakia mizigo yao kwenye gari
lengwa, baada ya kufanikiwa kwa suala hilo furaha ya wapenzi hao ikarudi tena
japokuwa haikuwa sawia sana kwakuwa walijua tu kuwa kuna muda utafika
wataachana wapenzi hao, basi kwa umbali mrefu wlikuwa wakipia stori za
kujiliwaza ihali ya kuwa walijua kuwa hawana muda mrefu waa kukaapamoja. Safari ilipokuwa ikikaribia
iringa wapenzi hao wakaingia tena kwenye dimbwi la huzuni kwani hawakuweza
kabisa kujizuia kuonyesaha hisia zao juu ya mapenzi yao! Mwanamke akaanza kulia
tena kwa kufosiwa na upendo wa moyo wake juu ya mpenzi wake, baada ya
kubembelezwa na mpenziwe hatimaye mwanaume nae akaanza kulia pia kwa
kdhihilisha upweke wa muda mrefu kutoka kwa mpenziwe punde tu watakapo achana
watu haoo! Kama ilivyo ada gari likafanikliwa kuingia stend ya Iringa na
wapenzi hao wakasindikizana mpaka mlangoni mwa gari na kuondoka, kwa upande wa
mwanamke akapanda pikipiki tayari kwa kupelekwa nyumbani na kwa upande wa
mwanaume akaendelea na safari kuelekea Morogoro.
Msimamo wa penzi unatokana na wawli
wapendanao na si wale wanao waangalia kwani hawanadhabiti yoyote kuhusu mapenzi
ya wawili hao. Katika ulimwengu wa sasa kuna vitu vingi sana vinavyo vunja na
kuharibu undugu na urafiki lakini vitu
hatari sana kwa suala hili ni Mapenzi na Pesa. Katika mapenzi hakuna
wakumwamini katika wale wanaoyaangalia mapenzi yako iwe ndugu, rafiki, jirani
na binadamu wengine wote. Kama unaamini unapendwa nawe penda sana na kana moyo wako unapenda usifiche hisia
zako juu ya uumpendaye.
MAISHA HUJENGWA NA PIA HUARIBIWA NA
BINADAMU UMAKINI UNAHITAJIKA KATIKA UTENDAJI
KWANI DAIMA VIVURUGE BADO WAPO HUMUHUMU DUNIANI…………………!!!!!!!!!!!!!!