FUMANIZI ZITO
Jamaa mmoja akumbwa na fumanizi la ajabu katika moja kati
ya lorge mashuhuli hapa mjini iitwayo mchana lorge. Ni mchongo uliofanywa na
mpenzi wa zamani wa mwaume huyo baada ya kumkacha, akaamua kumsambazia noma kwa
kumvujishia mume wa mwanamke husika ambaye alikuwa akitoka na mwanaume huyo
baada ya kumsaliti, jamaa huyo jina(………..) limehifadhiwa ambaye ni mwanafunzi
wa chuo kikuu mashuhuri hapa Tanzania
anaonekana kuwa na soni kubwa baada ya kukutwa live na mume wa mwanamke huyo
ambaye alikuwa akideti naye. Ilikuwa ni muda wa jioni fulani hivi ambapo
wahusika walikuwa wakijiachia kwa starehe zao baada ya kuamini kuwa wapo
pekeyao ndani ya lorge hiyo, bila kujua chochote katikati ya mchezo mlango
ukafunguliwa kwa nguvu kubwa paaa…………….. Mume wa mwanamke yupo ndani na shahidi
wake ambaye ni mpenzi wa zamani wa mwanaume aliye fumaniwa, kwa aibu na woga wa
ajabu mwanaume akawa hajui nini la kufanya ili kujinusuru na dhahama iliyomkuta
pale lorge, akasema bro….. nisam….!!!!!!!!!!! Ni shetani tuuu ndiye aliye
nikumba. Kwa bahati mbaya zaidi mume wa mwanamke huyo alifanikiwa kuchukua nguo
zote za wahusika hao kisha akawapa jukumu la kuchagua adhabu kwa wote wawili na machaguo yalikuwa kama yafuatayo kuuawa, kweenda polisi wakiwa kama walivyo
zaliwa, kupigwa picha na kupelekwa kwenye vyombo vya habari, na mwishowe
ilikuwa kuwatembeza wakiwa kama jinsi walivyozaliwa kutoka kwa mama
zao!!!!!!!!!!!!!! Kutoka eneo la tukio na kuelekea viwanja vya michezo . JAMANI
WATANZANIA MAISHA YA KUTEMBEA NA WAKE ZA WATU SI VYEMA KWANI AIBU KAMA HII NI
HATARI KUBWA SANA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni