Wapenzi wasomi watarajiwa wa elimu ya juu mnatakiwa kuangalia majina yenu yaliyotolewa na TCU kwani kuna baadhi ya watahiniwa takribani elfu nane na miatano hawajafanikiwa kuchaguliwa kujiunga na vyuo vikuu mbalimbali vya hapa nchini kutokana na sababu tofauti tofauti ikwemo na kukosea baadhi ya kanuni za uombaji pamoja na kukosea jinsi ya uandishi wa majina husika ya waombaji. Hivyo basi ni vyema kutazama na kuangalia majina hayo kama jina lako halitakuwepo kwenye orodha hiyo basi fahamu kuwa huna tatizo lolote lakini endapo utafanikiwa kuliona jina lako katika orodha hiyo fahamu kuwa unatatizo na linatakiwa kufanyiwa urekebishaji mapema na kwa haraka sana. TCU wametoa tarehe ya mwisho ya kufanya marekebisho kuwa ni TAREHE 09/ 08/ 2013
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni